top of page

Stephen Lungu, Anne Coomes 

 

Kijana Stephen Lungu alivyotoka gizani, alivyokamatwa na Yesu alipokuwa kiongozi wa genge la “Black Shadows” na kuanza maisha mapya, alivyokua na kumtumikia Mungu.

 

Kurasa 354.

 

Mungu atakutumia wewe, bila kujali hali yoyote iliyopo. Maombi yako, uaminifu wako, katika kufanya wajibu wako ijapo kidogo tu, yote hayo ni ya muhimu sana. – Stephen Lungu

Kukimbia Nje ya Kivuli Cheusi

TZS 7,000.00Price
    bottom of page